Psalms 13:1-2

Sala Ya Kuomba Msaada

Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi.

1 a bMpaka lini, Ee Bwana? Je, utanisahau milele?
Utanificha uso wako mpaka lini?
2 cNitapambana na mawazo yangu mpaka lini,
na kila siku kuwa na majonzi moyoni mwangu?
Adui zangu watanishinda mpaka lini?
Copyright information for SwhNEN